Home
»
» Unlabelled
» General News Baada ya Injini ya Pantoni Kigamboni kuzima katikati ya maji, huyu Shuhuda amefichua mengine
Imekua ni moja ya Top Stories February
11 2016 baada ya picha kuanza kusambaa asubuhi kuhusu Injini ya Pantoni
Kigamboni kuzima katikati ya maji na safari haijakamilika, shuhuda
ambaye ni Mfanyabiashara kwenye eneo la Feri ambaye ni lazima kila saa
kumi na moja alfajiri awepo eneo hilo, amefichua mengine kwamba Pantoni
la Kigamboni hukumwa na misukosuko hii kila wiki.
Stori kamili utaipata ukibonyeza play hapa chini kuipata kwa ukamilifu.
UMEONA UJENZI WA DARAJA LA KIGAMBONI ULIPOFIKIA?
Post a Comment
Post a Comment