VIDEO: Waziri Nchemba kafanya ziara ya kushtukiza usiku,aliyoyakuta imebidi kumsimamisha kazi Mkurugenzi
on
Usiku wa
Feb 11 2016, Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mwigulu Nchemba alifunga
safari y a ghafla kuelekea katika machinjio ya Ukonga Mazizi Dar ,
safari hii ikiwa ni kupambana na kuwakamata wanaohujumu kodi pamoja na
mapato ya serikali.
Camera ya Ayo Tv iliyanasa matukio yote makubwa, unaweza kuyatazama hapa kwenye hii video
https://youtu.be/1Yi-qnbj-XQ
Post a Comment
Post a Comment